ALI MUKHWANA Unastahili cover image

Unastahili Lyrics

Unastahili Lyrics by ALI MUKHWANA


Mwenye Enzi Ni weeh ni Wewe
Mwenye Enzi Ni weeh ni Wewe
Unaetawala Duniani ni weeh ni Wewe
Muumba Mbingu na inchi Ni weeh ni Wewe

Unastahili Bwana Eeeh
Unastahili Yesu
 Unastahili kuabudiwa Unastahili
Unastahili Bwana Eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili

Kwa mapigo yako Yesu nimeona Mwanga
kwa mateso yako Yesu Mimi nimepona
ulifanyika maskini ili niwe tajiri
Ulidhihakiwa mbele ya watu ili nione Mbingu
mikuki Bwana ukachomwa ili nikombolewee
Mwishoe Baba haukuhukumu yeyote
 uliwasamehe wote Unastahili Bwana eeeh

Unastahili Bwana  eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili
Unastahili Bwana  eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili

Nikitazama Duniani wengi wamekufa nami niko hai
Hilo nidhitisho tosha wanipenda matendo yako
Bwana yapita ufahamu Wangu
Bwana wangu weeeh Unastahili eeeh
Usikiye na kuomba kwangu kilio changu kikufikie nchi
Imeshiba mazao ya kazi zako Bwana Unastahili eeeh

Unastahili Bwana eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili
Unastahili Bwana  eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili

Unaishi ndani yangu Bwana
Unaishi ndani yangu Bwana
Unaishi ndani yangu Bwana
Unaishi ndani yangu Bwana

Unaishi ndani yangu Bwana
Unaishi ndani yangu Bwana
Unaishi ndani yangu Bwana

Watch Video

About Unastahili

Album : Unastahili (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (C) 2020 Upeo Talent Agency, a division of Terazo New Media
Added By : Farida
Published : Jul 02 , 2020

More ALI MUKHWANA Lyrics

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl