ADASA Tunaendana cover image

Tunaendana Lyrics

Tunaendana Lyrics by ADASA


Maradhi ya moyo yamekwisha ayee
We ndo doctor unaye nipa tiba
You are a gentleman umenikosha
Kileleni wewe hunifikisha, ayee eh

Yuko juu wewe uko mnjanja
Chali zimekolea kolea wangu mwilini
Naelewa mabusu tu chai ya mtoto mchanga
Utamu kolea kolea mmmh

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)

Hata nyota zetu (Tunaendana)
Mia kwa mia (Tunaendana)
Na tabia zetu 
Mimi na wewe 

Umewaka cheche umewaka moto
Wameshindwa kuzima
Nyota utete, tete
Nibebe nikubebe tusiachane 
Mimi wako mazima

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana (Wala siwezi kukukana)
Tunaendana (Mi nawe tunaendana)
Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (Mama eh eh eh)

Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (yea ii)
Tunaendana (Tunaendana)
Tunaendana

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana, tunaendana
Tunaendana, tunaendana
Tunaendana

Watch Video

About Tunaendana

Album : Tunaendana (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 20 , 2020

More ADASA Lyrics

ADASA
ADASA
ADASA
ADASA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl