ADASA Katika  cover image

Katika Lyrics

Katika Lyrics by ADASA


Vipi unapenda navyocheza
Mi nakatika sababu yako
Niko ready nipigane niwe wako
Aah unanimaliza

Sisemi mingi nitoe mawazo
Utani kwenye dancefloor
Niko ready nishinde niwe wako
Aah unanimaliza

Cheki wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Tunaimba mpaka kesho, yaani kesho

Cheki wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Tunaimba mpaka kesho, yaani kesho

Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh
Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh

Tunakula debe mdogo mdogo
Jabe ziko mbele ni mua ndogo
Team wazele cha baba eeh
Cha mama eeh, cha hawa

Nikikupata utalegea
Oooh mapenzi inaongea
Ikikuwasha utaongea
Ombe mwakazi naongea

Cheki wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Tunaimba mpaka kesho, yaani kesho

Cheki wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Tunaimba mpaka kesho, yaani kesho

Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh
Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh

Wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Naimba mpaka kesho, yaani kesho

Cheki wanapungika na maphoto
Wanapingishwa na watoto
Kumejazana si mchezo
Naimba mpaka kesho, yaani kesho

Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh
Katika eeh, katika eeh
Katika mama katika mama, katika eeh

Watch Video

About Katika

Album : Katika (Single)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 16 , 2022

More ADASA Lyrics

ADASA
ADASA
ADASA
ADASA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl