We Shall Overcome Lyrics by STIVO SIMPLE BOY


Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome (Ndio maanake)
We will overcome 

Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

And all we going through
Jipe moyo
Tough times become at night
Joy comes in the morning

Shikilia tu
Jikaze wewe
Utasonga juu
Mungu yupo nawe

Najua hali ni ngumu si siri sitakataa
Leo kuna giza kesho kutawaka taa
Shida zote ni ka candle zipe time zitakwisha
Form ni kuwa strong manze acha kuhuzunika

Baada ya dhiki faraja, pamoja tutavuka daraja
It's just a matter if time si siri siku njema inakuja
Kweli we ni wa maana tena wewe ni wa power
At the end of the tunnel manze tutaona mwangaza

Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
We will overcome 

Hardtimes define a real soldier
Si ni mashujaa na bado tuko kimoja
Usikufe moyo mashida zinapotusonga
Changamoto kibao lakini bado twasonga

So don't worry hii vita tutashinda
Maisha ni safari ni kupanda na kushuka
After ever tears kuna hope tabasamu
Mipango za Mungu usilinganishe mwanadamu

Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

Watch Video

About We Shall Overcome

Album : We Shall Overcome (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Made in Kibera.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 28 , 2020

More STIVO SIMPLE BOY Lyrics

STIVO SIMPLE BOY
STIVO SIMPLE BOY
STIVO SIMPLE BOY
STIVO SIMPLE BOY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl