Msinifatefate Lyrics by STEPHEN KASOLO


 

Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu
Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu

Neema yangu si yako
Furaha yangu si yako
Usinifuate fuate, utaangamia

Baraka yangu ni yangu
Wala wewe si yako
Usinifuate fuate, utaangamia

Ukiniona nina magari
Kesho nina majumba
Usinifuate, utaangamia

Ukifuata kwa maneno
Ukifuata kwa husuda
Si yako, utaangamia

Bahati yangu ni yangu
Neema yangu ni yangu
Usinifuate, utaangamia

Kama mashariki 
Ilivyo mbali na magharibi mama
Kadhalika mimi nawe hatutakaribiana

Neema yako ni yako
Yangu ni yangu
Usinifuate, utateketea

Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu
Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu

Msinicheke kwa ajili ya mapito ninayopitia
Msinifuate fuate ninaye Mungu
Ninachojua kilio huja usiku asubuhi ni furaha
Msinifuate fuate, mtapoteza bure bure

Msinifuate fuate maadui eeh
Pito ninalopitia Mungu anajua
Nimepitia vya kutosha weeh
Nimelia kilio ya kutosha mimi

Usifurahi juu yangu adui eeh
Ninapo anguka nitasimama tena
Usinicheke usinidharau weeh
Ninapo anguka mimi nitasimama tena

Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu
Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu

Yeye alianzisha kazi njema ndani yangu
Ataitimiliza aah
Si vizuri nawaona, mnaonifuata njiani
Yesu ni mali yangu

Lighorofa lao lilitokana na kubishana na Israeli
Mwisho wa siku waliangamia
Nasema kaeni mbali, na safari yangu
Msinifuate fuate, mtaangamia

Ya nini kujipa shida?
Ya nini kupoteza muda?
Pito langu ni langu weeh
Mtateketea

Ya nini kujichosha bure?
Ya nini kuvuja jasho?
Pito langu ni langu 
Mtaangamia

Msinifuate fuate maadui kaeni chonjo
Msinifuate fuate, mtaangamia
Nimevishwa silaha, nimevishwa ushindi
Msinifuate fuate, mtaangamia

Mbingu zimeniamini
Mungu amenidhibitisha
Msinifuate, mtaangamia

Kwa nyote maadui zangu
Mnaofuata nyayo zangu
Msinifuate, mtaangamia

Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate mtaangamia eeh...

Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu
Tenaa....
Msinifuate fuate mimi ninaye Mungu
Msinifuate fuate ninaye Mungu

Ni kitole, kitole mundu wakwa weeh
Weweee, Kamba productions
Nabeba kubeba heavy weight

Hayayayayaya....
Pole sana tunaona hasara 
Kwa wanaona tufuata nyuma
Kwa wanao tamani tamani 
Kukanyaga vivuli vyetu
Aaah pole

Hasara tunaona hasara
Kwa wanaotufuata
Hasara tunaona hasara
Kwa wanaotufuata

Hasara kwenu mnaofuata nyayo zetu sisi
Kwa wanaotufuata
Hasara kwa wanaooanga kasoro
Kwa wanaotufuata

Hasara kwa wanao tusengenya bure bure
Hawajui kwamba Kasolo ni mtoto ya Mungu
Sisi ni mali ya Mungu, hatutishiki

Hasara na mutaweka kitole
Kwa wanaotufuata
Ni kitole, kitole mundu wakwa weeh
Kwa wanaotufuata

Watatembea peku wakiwa jangwani hasara eeh
Kwa wanaotufuata
Na nyayo zetu hamwezi mkakanyaga ni hasara
Kwa wanaotufuata

Ah neema yangu ni yangu huwezi wee hasara
Kwa wanaotufuata
Utamaliza miguu yako katika jangwa
Utamaliza pesa zako kusaka waganga eeh

Ona neema yangu ni yangu hakuna mwingine
Ona hasara, naiona hasara
Taabu, naiona taabu kwa wambeya
Ah hasara, naiona hasara

Na hasara kwa maadui zangu weeh
Hasara kwa wenye vijicho 
Hasara kwa wenye fitina
Hasara wataumwa na hasara eeh,...eeh

Watch Video

About Msinifatefate

Album : Msinifatefate (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 29 , 2019

More STEPHEN KASOLO Lyrics

STEPHEN KASOLO
STEPHEN KASOLO
STEPHEN KASOLO
STEPHEN KASOLO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl