Kichwa Mbaya Lyrics by SPICE ENTERTAINMENT


Eeh Odi wa Murang'a naskia ulitoka
Ule mthose kipetero ki Yesu manze, ilikuwaje?
Eeh jo man si unajua hadi pedi wake nilimtoka juzi
Si uliniambia ati uliona zake zihunuka makereash
Manze zi hutupa, zi hutupa lakini mi ni nani?
Mi ni kichwa mbaya mi hapana tambua

Enyewe babayoh ni kichwa mbaya
So tunapelekana na rieng ya kichwa mbaya
(Mi kichwa mbaya mi hapana tambua)

Sidai zake ju ye huuza mambichwa mbaya
Na pedi wako naweza mtoa ju ni kichwa mbaya
Uwashe tatu ndo unifungulie za madawa
Ka una kutu chapa kitu ki ukichwa mbaya

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Mbuzi kakuja kichinjio
Zimeshika naskiza tu za Neyo
Na mashasha mavitu ni ban hiyo
Na mthose akuje kikalio

Pia wizi ni talanta
Mi ni dingo nakuwaga na garanta
Na mbogi yangu yote yo hukula tu mabata
Uliza bibi yako mi hukula kwako sapa

Ah pretty gal mi hupenda mateke
Ye ni lele na bado ana nyege
Mi hupiga wanaita manjege
Piga Shiru ambiye Mathenge

Tigana na fagi we Mwangi 
Na hizi Keg tujazilishie hizo Konyagi aah
Walisema ujana moshi
Ndio maana kikiwaka man sijifichangi aah

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Mi ni mzazi mi huchill na mathako
Ka ni jaba nashikisha na babako
Eey mbogi yangu hukutoka kimavako
Ka ni shada mi huiva ki-Mavado

Jeshi ya Nanyuki Odi wa Murang'a
Si huiva shada hata na mabang'a
Oya panda tuwabebe ka makanga
Shika ngeus umpeleke na rada

Mi ni rasta bila dredi
Mbogi yangu yote itanyc ukidedi
Niko under water utadhani mi ni pedi
Ngoma zako zote zi huboo kama Jessy

Tigana na fagi we Mwangi 
Na hizi Keg tujazilishie hizo Konyagi aah
Walisema ujana moshi
Ndio maana kikiwaka man sijifichangi aah

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Ju hizi pia ni talanta, mi ni kichwa mbaya
Niko kajing na kashada we si kichwa mbaya
Thobo thobo nitariada mi ni kichwa mbaya
Chimba turi bila mpango ki ukichwa mbaya

Shika mthose uitiwe babake
Leta lejo na crate ya mikate
Tuchome shada na alete kakake
Toka mbio na ukule mamake

Inua njuang'a kama bendera
Toka nduaka na uhepe mathena
Dara Njeri na ukule Wanjira
Gonga turi aitiwe Kawira

Robi wood kwenye wood ni kuburn tu makush
Tukifika kasabun hadi umeze kwenye hood
Na mafikra ka baboon tukidrop tu maboom
Tunadrop kama doom tunakill hao magoon

Tigana na fagi we Mwangi 
Na hizi Keg tujazilishie hizo Konyagi aah
Walisema ujana moshi
Ndio maana kikiwaka man sijifichangi aah

Watch Video

About Kichwa Mbaya

Album : Kichwa Mbaya (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Spice Entertainment.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 26 , 2020

More SPICE ENTERTAINMENT Lyrics

SPICE ENTERTAINMENT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl