Kunitema Lyrics by SANAIPEI TANDE


Mapenzi kunipofua kiziwi mi kanifanya
Amini kugombana ni kawaida
Nyumbani wanakazana, ndivyo inavyotakikana
Subutu aibu na laaana

Nimekaa aaah 
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah 
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi

Miye miye miye
Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na 
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

Akufukuzaye haneni ondoka
Kukusinya ukachoka
Chunga utu kukutoka

Nimekaa aaah 
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah 
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi

Wacha wacha waseme nina umang'aa
Wacha wacha waseme bora furaha
Wacha wacha waseme maziwa lala
Wacha wacha waseme bora furaha

Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na 
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

Watch Video

About Kunitema

Album : Kunitema (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

More SANAIPEI TANDE Lyrics

SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl