SABA GANG Dundaa cover image

Dundaa Lyrics

Dundaa Lyrics by SABA GANG


Jea jea
Saba gang! 
(puffs smoke) sshhhh

Ni wikendii zishikie tu kwa dundaa
Ni kumedii niko bash na manguna
Ni kumbleki na mashash zimerunda
Ati pewa glass pewa ass pewa thutha

Kanapenda kuinama kakizungusha haga
Na daily kamenyanya kapate kwenye dundaa
Nipate dundaa nikivunja mifupa
Na daily zimerunda na kajaba alutaa

Kujinice na wasupa ndo fom ya dundaa
Mkatishee mizinga amalize na machupa
Napenda hio style mummy kwanza unavyokata
Ju niko dundaa... Katikati ya wasupa
Zimenishiiika, naskia kumburuka
Ambia dj, pull up! Pull up! Pull up hiyo ngoma
Na mbogi itazitoka
Madame wakirombosa
Mashadda zikiwaka
Nikikata maji na glass mezani
Dundaa inashiika dundaa inanice
Waambie wakam nao

Ni wikendii zishikie tu kwa dundaa
Ni kumedii niko bash na manguna
Ni kumbleki na mashash zimerunda
Ati pewa glass pewa ass pewa thutha

Kanapenda kuinama kakizungusha haga
Na daily kamenyanya kapate kwenye dundaa
Nipate dundaa nikivunja mifupa
Na daily zimerunda na kajaba alutaa

Napenda zikitwerk zikikam hii side
Napenda zikiwaka na mamoshi ndani ya club
Zimenice.... Nipe glass na hizo ice
Msupa whine... Ameiva na kingwai
Na hizo njegii...amebeba simuweki
Napenda hio figa magizani utawika
Ati sunday kamjengaa
Thondeka mawegaa
Shake hio dinaa...mbona unaringa
Kwanza kwenye rinda na vile una figa
Ati unaogopa mimba, nitakukemba
Bila cd ama movie kwenye keja
Baki na bra hebu toa weather
Nikukembe jo vile umeweza
Kwenye njegii..  Pia haga umebeba

Kanapenda kuinama kakizungusha haga
Na daily kamenyanya kapate kwenye dundaa
Nipate dundaa nikivunja mifupa
Na daily zimerunda na kajaba alutaa

Ni wikendii zishikie tu kwa dundaa
Ni kumedii niko bash na manguna
Ni kumbleki na mashash zimerunda
Ati pewa glass pewa ass pewa thutha

Kanapenda kuinama kakizungusha haga
Na daily kamenyanya kapate kwenye dundaa
Nipate dundaa nikivunja mifupa
Na daily zimerunda na kajaba alutaa

Ati dundaa inashiika
Dundaa inanice
Waambie wakam nao
Tujinice kujinice,
Jea!

Watch Video

About Dundaa

Album : Dundaa (Single)
Release Year : 2021
Added By : Xtiger
Published : Aug 13 , 2021

More SABA GANG Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl