PSON Sabu cover image

Sabu Lyrics

Sabu Lyrics by PSON


Tuko namwangalia na mbali
Kama my music ka itampeleka ka fashi
Kama lishushi tutakagombanisha
Na ile mamilio ya ma v yake ya gwivi

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Tumika kazi yako na roho moja
Kuna siku kazi yote inalipaga
Usisikie ya watu angalia Mola
Jua ya leo ya kesho umwachie Mungu

Walisema hutaolewaga
Kazi hutapataga 
Utabaki kuhangaika
Utabaki masikini

Walisema hautaolewaga
Kazi hutapataga 
Utakuwa ka omba omba
Leo tuko wapi?

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Watch Video

About Sabu

Album : Sabu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 28 , 2020

More PSON Lyrics

PSON
Yu
PSON
PSON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl