Mwokozi Wangu Ni mMwamba Bora Lyrics by PAPI CLEVER & DORCAS


Mwokozi wangu ni mwamba bora, ahadi kama milima
Zaniletea amani tele, na mibaraka daima
Katika mwamba ni raha kuu, baraka tele kutoka juu
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Katika mwamba ni raha kuu, baraka tele kutoka juu
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele

Makimbilio ni mwamba huo katika teso lo lote
Nisikimbie adui ‘kuu, nishinde katika vyote
Dunia yote ikitingika, ahadi zake hazipunguki
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Dunia yote ikitingika, ahadi zake hazipunguki
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele

Nakaa mbali ya udhalimu, hatia, dhambi, hukumu
Na kwa imani nikisimama, adui atakimbia
Nayo mawazo ya giza tupu hayatapata nafasi huko
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Nayo mawazo ya giza tupu hayatapata nafasi huko
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele

Nafurahia baraka zote za ulimwengu wa roho
Karama hizo nalizipewa katika kufa kwa Yesu
Hakuna woga na shaka huko, hayatakuwa manung’uniko
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Hakuna woga na shaka huko, hayatakuwa manung’uniko
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Hakuna woga na shaka huko, hayatakuwa manung’uniko
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele
Nakaa humo, ninastarehe, ni heri sana milele

Watch Video

About Mwokozi Wangu Ni mMwamba Bora

Album : Mwokozi Wangu Ni mMwamba Bora (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 10 , 2023

More PAPI CLEVER & DORCAS Lyrics

PAPI CLEVER & DORCAS
PAPI CLEVER & DORCAS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl