Je Umelisikia Jina Zuri Lyrics by PAPI CLEVER & DORCAS


Je, umelisikia jina zuri
Jina la Mwokozi wetu?
Linaimbiwa duniani pote
Na katika watu wote

Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa
Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa

Linafariji moyo wa huzuni
Latutia raha kuu
Katika shida na hatari huku
Jina hili latulinda

Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa
Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa

Katika giza huku jina hili
Linang’aa kama nyota
Lanipa utulivu na ‘hodari
Siku zote hata kufa

Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa
Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa

Majina yote yasahauliwa
Ila jina lake Yesu
Milele  litang’aa huko juu
Yesu, jina nzuri mno
Majina yote yasahauliwa
Ila jina lake Yesu
Milele  litang’aa huko juu
Yesu, jina nzuri mno

Yesu, jina hilo linapita
Majina yote kwa uzuri
Ni lenye nguvu ya kutuokoa
Na hatia na makosa

Amazina yos' aribagirana
Kerets' izina rya Yesu
Rizahora rimurika mw ijuru
Yesu ni we zina ryiza

Yesu ni we zina rihebuje
Rirut’ayandi yose mw isi
Rifit' imbaraga zo kudufasha
Ridukiz' ibyaha byose

Watch Video

About Je Umelisikia Jina Zuri

Album : Je Umelisikia Jina Zuri (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 13 , 2023

More PAPI CLEVER & DORCAS Lyrics

PAPI CLEVER & DORCAS
PAPI CLEVER & DORCAS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl