PADI WUBON Mama Zao / Baba Lao Parody cover image

Mama Zao / Baba Lao Parody Lyrics

Mama Zao / Baba Lao Parody Lyrics by PADI WUBON


Tumepigwa mti na baba zao(Baba zao)
Sisi ndio mama lao(Maba zao)
Si baba zao(Baba zao)
We ndio baba yao(Baba yao)

Eeeh sioni baba zao (Baba zao)
Tadupuli baba zao(Baba zao)
Wakwende baba zao(Baba zao)
Hatuogopi makarao(Makarao)

Mdomo kwa moko nangoja koko
Leo mwanaume alete zogo
Naeza kumuingia ngoto ngoto
Moja baridi moja moto

Mmechoka eti?(Aaah wapi)
Mnataka lala?(Aaah wapi)
Tumbo limezidi?(Aaah wapi)
The baby is kicking(Aaah wapi)

Chunga usitapikiwe songa hapa
Mtoto amenyamba nina heartburn
Kiuno vile imeganda
Hadi ninanuka msamba

Leta baiskeli(Saa wapi)
Twende maternity(saa wapi)
Kashafungulikana(Aaah wapi)
Kameshafungulikana(Aaah wapi)

Tumepigwa mti na baba zao(Baba zao)
Sisi ndio mama lao(Maba zao)
Si baba zao(Baba zao)
We ndio baba yao(Baba yao)

Eeeh sioni baba zao (Baba zao)
Tadupuli baba zao(Baba zao)
Wakwende baba zao(Baba zao)
Hatuogopi makarao(Makarao)

Sitaki usengenyo
Mwambie mapema(Mapema)
-Kafanya
Kwa shimo alitema(Alitema)

Anyakue -- alafu anahepa
Eeeh huwezi hepa
Nabaki kusononeka
Eeeh huwezi hepa

Kwanza akinikatie(Eeh alikukatia)
Ashanipiga kitu
Anacheza kama monkey 
Kuja unikande kande 

Eeh tunawatafta (Vidume)
Wakishanoki(Vidume)
Ukiinua faster(Vidume)
Wanachapachapa(Mchunge)

Chizi utarogwa tena
Chizi chizi utarogwa tena eeh
Chizi utarogwa tena
Chizi chizi utarogwa tena eeh

Chizi utarogwa tena
Chizi chizi utarogwa tena eeh
Chizi utarogwa tena
Chizi chizi utarogwa tena eeh

Tumepigwa mti na baba zao(Baba zao)
Sisi ndio mama lao(Maba zao)
Si baba zao(Baba zao)
We ndio baba yao(Baba yao)

Eeeh sioni baba zao (Baba zao)
Tadupuli baba zao(Baba zao)
Wakwende baba zao(Baba zao)
Hatuogopi makarao(Makarao)

Nakumbuka akipanda 
Na hili shati alivua(Kata mhogo)
Nakumbuka akipanda 
Na ya ndanu alivua (Kata mhogo)

Inua inua(Kata mhogo)
pendua pendua(Kata mhogo)
Eeeh tunanuka makwapa 

Basi napiga Yope(Huwezi)
Mimi napiga Yope(Huwezi)
Walahi napiga Yope(Huwezi)
Mimi napiga Yope(Huwezi)

Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh!..Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh... Eeeh! 

Basi napiga Yope(Huwezi)
Mimi napiga Yope(Huwezi)
Walahi napiga Yope(Huwezi)
Mimi napiga Yope(Huwezi)

Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh!..Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh... Eeeh! 

Watch Video

About Mama Zao / Baba Lao Parody

Album : Mama Zao / Baba Lao Parody (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 25 , 2019

More PADI WUBON Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl