
Pombe Sigara Lyrics
Pombe Sigara Lyrics by NVIIRI THE STORYTELLER
Nviiri the Storyteller - Pombe Sigara lyrics
Oh ooh pombe sigara
Naweza wacha bila kung'ang'ana
Lakini hawa wasichana
Vile nawapenda, ni kama laana
Oooh Sol Generation
And thats why tell aah
Eey aii ooh
Naskia walevi huota na bia
Lakini kuna siri nitawaibia leo
See am not addicted to alcohol
Am not a victim not at all
Yalimpata Samson, yakampata Solomon
Situation hugeuka tricky
Kila shimo napanda miti
Contribution kwa team mafisi Karura
Eeey, situation hugeuka tricky
Kwa hivyoo
Msiniweke kamba kwa shingo
Pombe sigara
Naweza wacha bila kung'ang'ana aah
Lakini hawa wasichana, vile nawapenda
Ni kama laana aah
Somebody is cool and not fine
Tell them thats how
We tell a ...
Ati alivunja shingo akalemewa
Akatoa fimbo nnje ya ndoa
Na hivyo ndivyo alijichomea
Eeey situation imekuwa tricky
Kuona shimo alipanda miti
Na hivi sasa ako Kamiti kwa jela
Eeey situation hugeuka tricky
Kwa hivyoo
Msiniweke kamba kwa shingo
Pombe sigara aah
Naweza wacha bila kung'ang'ana aah
Lakini hawa wasichana, vile nawapenda
Ni kama laana aah
Oooh yeah, yeah
Pombe sigara aah
Naweza wacha bila kung'ang'ana aah
Lakini hawa wasichana, manze vile nawapenda
Ni kama laana aah
(Oooh yeah yeah...yeah)
Watch Video
About Pombe Sigara
More NVIIRI THE STORYTELLER Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl