Sijalewa Lyrics by NAY WA MITEGO


Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Nataka tusahau shida 
Waiter please lete pombe(tupombeke)
Watembezee na wana
Tuwe high sio kinyonge(tupombeke)

Zikivunjwa glass
Tumekuja na vikombe(tupombeke)
Na kama unakunywa
Kunywa kweli usionje(tupombeke)

Ila wengi wakilewa huwa zinashuka chini
Kwangu mimi zinafanya najiamini(ngumi)
Kamwili kadogo najioa kama Tyson
Hujui kucheza unajikuta Michael Jackson

Vichwa panzi bia mbili tayari ashawaka 
Anawaza guest kwenye vichaka
Hakuna pombe za bure bwana, kipo wanachota
We kunywa tu watakubaka

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Pombe ni pombe, steam zinafanana
Hatuchagui kiwanda tunachanganya
We ni ng'ombe nani aliyekudanganya
Kula pombe bila kula unapunguza njaa

Ona akilewa anatapika(pombe hiyo)
Anatoa siri za ndani(pombe hiyo)
Kila wimbo anakatika(pombe hiyo)
Anakojoa hadharani(pombe hiyo)

Vichwa panzi bia mbili tayari ashawaka 
Anawaza guest kwenye vichaka
Hakuna pombe za bure bwana, kipo wanachota
We kunywa tu watakubaka

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa
Sijalewa

We jikute boss tunamwaga mahela
Wakati wengine wakilewa wanazingua masela
Amaze call me bros and me thinking no hela
Ata ukinifukuza ...woiyoo

Kunyweni pombe
Tunywe pombe masela
Kunyeweni pombe masela(masela)

Kunyweni pombe
Tunywe pombe masela
Kunyeweni pombe masela(masela)

Ona akilewa anatapika(pombe hiyo)
Anatoa siri za ndani(pombe hiyo)
Kila wimbo anakatika(pombe hiyo)
Anakojoa hadharani(pombe hiyo)

Free Nation
The Mix Killer

Watch Video

About Sijalewa

Album : Sijalewa (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 14 , 2019

More NAY WA MITEGO Lyrics

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl