Corona Lyrics by MZEE WA BWAX


Eeh jamani nawakumbusha watanzania wenzangu
We tusidharau tusipuuze kuna gonjwa limeingia
Jamani nawakumbusha watanzania wenzangu
Nasema tusidharau tusipuuze kuna gonjwa limeingia

We jamani gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa
Gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa

Ndugu zangu tujikinge, tujilinde
Ngojwa hili limeingia hapa kwetu Tanzania
Ndugu zangu tujikinge, tujilinde
Kuna wagonjwa wamepatikana wamekutwa na Corona

We jamani gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa
Aaah gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa

Ooh watanzania tumwombe Mungu atuepushe na Corona
Dini zote tusali tumwombe Mungu atuepushe na Corona
We Magufuli tumwombe Mungu atuepushe na Corona

Ndugu zangu tujikinge, tujilinde
Ngojwa hili limeingia hapa kwetu Tanzania
Ndugu zangu tujikinge, tujilinde
Kuna wagonjwa wamepatikana wamekutwa na Corona

Baba Magufuli gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa
Makonda gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa
Majaliwa gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa

Beiby wangu usinipige busu naogopa Corona
Ndugu rafiki usinipe mkono naogopa Corona

Gojwa hili ni balaa
Gonjwa hili sio poa

We ndugu zetu Kenya wanalia kwa sababu ya Corona
China wanateketea kwa sababu ya Corona
We ndugu zetu Congo wanalia kwa sababu ya Corona
Na Italy wanateketea kwa sababu ya Corona

Watch Video

About Corona

Album : Corona
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 31 , 2020

More MZEE WA BWAX Lyrics

MZEE WA BWAX
MZEE WA BWAX
CCM
MZEE WA BWAX
MZEE WA BWAX

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl