MR BLOOM Utawezana (Maskini Utawezana) cover image

Utawezana (Maskini Utawezana) Lyrics

Utawezana (Maskini Utawezana) Lyrics by MR BLOOM


Hahahaha najua watu wengi wanajiuliza
Kama sisi masikini tutawezana (Hahaha hiii)
Tumezoea kusukuma life bana
Sasa hii kitu itatushinda kweli?

Ah mrembo pole nimekuja ghafla
Sikua na kredo si unajua mimi ni sufferer
Aaah sipendi fundi wa gari akichelewa
But umefika anyway naelewa

Basi niambie umeniita kwanini?
Nakuonanga ukisukuma mkokoteni
Aki hizo nguvu zako huwa natamani
Asanti najua kusukuma vitu mingi

Walai? Eeeh 
Wacha kusema na vile huku chini nimekwama
Ah hapo Nyakundi najituma kama mwizi
Nikose pesa tena nikose ujuzi?
Uliza Judy ama Lucy, nikipanda mi sishuki kwa urahisi

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitaipiga kama nachimba migodi

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitakukunywa kama dawa ya Corona

Ah naona we unajua kazi
Ningekujua kitambo singemea nyasi
Ah okey basi usiwe na wasi
Nipe nafasi msimu wa kupanda bado uko wazi

Eeh basi unaendaga kilomita ngapi?
Ah sipendi safari za kushtukia
Sipendi nyama yangu kurukia
Napenda usafi kupindukia
Na ninapenda chakula kikinukia

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitaipiga kama nachimba migodi

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitaipiga kama nachimba migodi

Hujaniambia unaenda kilomita ngapi?
Ah skiza vile nitakumake happy
Ah kabla niwashe engine mmmh
Nitafanya vitu mingi uimagine aah

Nagusa bonet natulia aah
Nagusa bumper natulia ah
Naangalia kushoto ukilia aah
Alafu barabara naingia

Ah wacha maneno fanya vitendo
Ebu tuingie ukanionyeshe pendo
Huh haya tuingie nikukule
Na ukumbuke painkiller uchukue

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitaipiga kama nachimba migodi

Nyakundi nikikupea utawezana? (Nitawezana)
We masikini utawezana? (Nitawezana)
We msupa nikikupata
Nitaipiga kama nachimba migodi

Watch Video

About Utawezana (Maskini Utawezana)

Album : Utawezana (Maskini Utawezana) (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 08 , 2020

More MR BLOOM Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl