![MIMAH SHAFIE Kiburi cover image](https://afrikalyrics.com/assets/thumbnail/kiburi-mimah-shafie.jpg)
Kiburi Lyrics
Kiburi Lyrics by MIMAH SHAFIE
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Ikawa Mola hakupendezwa
Alishushwa kwa neno
Kweli hakupendezwa
Alishushwa kwa neno
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Watch Video
About Kiburi
More MIMAH SHAFIE Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2024, We Tell Africa Group Sarl