Kiburi Lyrics by MIMAH SHAFIE


Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru

Ikawa Mola hakupendezwa 
Alishushwa kwa neno
Kweli hakupendezwa 
Alishushwa kwa neno

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Watch Video

About Kiburi

Album : Kiburi (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 13 , 2021

More MIMAH SHAFIE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl