Kamkoba Lyrics by MBOGI GENJE


(VDJ Jones)
Mbogi Genje, Kamkoba (Genje ni mbwaya)
Kamkoba (Genje nimbwaya)
(Mavo on the Beat)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamsupa na kathombotha
Zilishika akavua hadi toja (Toja)
Nazigonga anadai akingoja
Nazigonga, anadai, "Sitaki moja"

Mi ndio Roro, namba saba
Mi hufunga dude zote hadi gwatha
Akajibamba, akatupa hadi rubber
Tukimada atapiga msalaba

Mi hukawia nikidandia
Na nikikam through utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Digi ayiela, amenibamba
Na kuzied hio mkoba, amenimada
Na akizama, walai, amejing'ora
Kakijipa, itabaki kamewika

Kumanga uchi, uijazilie kutu
Aki, walai, ni lazima apige nduru
Chini ya waba, mchezo ni ya wanga
Utani-like, mi ni super striker

Nai-kill, utawika mbaya
Hii ni dudu, utawika mbaya
Utashinda ukiniita mbaya
(Na mi nitaitika mbaya!)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Na-realise mi hukwaria zireu
Dangulo, nimezunda ka wa mbwegze
Umojing, kwa wazing, Militan kuwa-sting kama bee
Wako steam, niko biz, Mr Chingri

Rima zote kuwariet, wanabaki na matiash
Ni kutiaf, kujichapa, kuwatoka tuna-hype
Kuwa mashup, kuwanyam, [?] zime-time
Mbogi Genge to di top, kuwashikisha na uras

Nawatepa na machieng'
Niko riang', niko rieng', utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng', utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng', na-nawatepa na machieng

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

(Mavo on the Beat)

Watch Video

About Kamkoba

Album : Kamkoba (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 21 , 2020

More MBOGI GENJE Lyrics

MBOGI GENJE
MBOGI GENJE
MBOGI GENJE
MBOGI GENJE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl