MAVOKALI Yamenizidia  cover image

Yamenizidia Lyrics

Yamenizidia Lyrics by MAVOKALI


Oh mapenzi, we mwenyewe unajua yanaumiza hatari
Yanaumiza hatari
Oh mapenzi ukija kuingia
Nakupa tahadhari, nakupa tahadhari

Akikolea balaa, tena furaha
Yaani furaha
Kuna watu wanaposti majeraha
Yaani karaha hawana furaha

Tena ukajiona unapendwa
Wakikutumia wanakuona kinyaa
Na wengine hadi tattoo wamechora
Yakisha wakuta wanajuta balaa

Najipa imani, nitapona, nitapona
Ila sitamani, nitapona, nitapona
Eeh vibaya, yamenizidia
Yamenizidia, yamenizidia

Wakati unawaza kumpenda pengine
Mwenzako anawaza kumposti mwingine
Lakini bado utahudumia mengine
Aah utashindwa kutambua umuhimu pengine
Atakupanda kichwani ili mapenzi uyachukie
Kiti atapanda shetani
Utaona bora umchunie

Najipa imani, nitapona, nitapona
Ila sitamani, nitapona, nitapona
Eeh vibaya, yamenizidia
Yamenizidia, yamenizidia

Watch Video

About Yamenizidia

Album : Yamenizidia (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 30 , 2021

More MAVOKALI Lyrics

MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl