Niamini Lyrics by MAGIX ENGA


Ninachoomba ni uniamini tu
Muda umepita nitakuja tu
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

My baby girl you know
Ukiwa mbali mi naumia you know
Kwa kila ndoto nakuona uko ndani
Nakutamani tena mami niko mbali 
I wish you know vile nahisi kama sijakuona
Mapenzi ugonjwa lini nitapona 

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Napitia mapicha zangu na wewe
Nawish hadi ningeondoka na wewe
Sijatafuta siwezi pata kama wewe
Michezo funny natamani tu na wewe

I wish ningeondoka tu wewe
Amini nikisema ni wewe
Sijatafuta siwezi pata kama wewe

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Ninacho omba ni uniamini tu
Muda umepita but am coming home
Hata kama unipe mwaka (Nipe mwaka)
Nilichokisema nitasawazisha

Watch Video

About Niamini

Album : Niamini (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 12 , 2021

More MAGIX ENGA Lyrics

MAGIX ENGA
MAGIX ENGA
MAGIX ENGA
MAGIX ENGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl