LETEIPA THE KING Baki na Mimi cover image

Baki na Mimi Lyrics

Baki na Mimi by Leteipa the King is a romantic theme song, released on 1st May 2020. Written and ...

Baki na Mimi Lyrics by LETEIPA THE KING


Kukutazama ukitabasamu
Nika kuwatch movie za Afro
Siwezi boeaka
We ndo kitabu mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako
Kama masai na rubeka

Ninatamani ningewa yako mavazi
Ungewa si ua ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe mukimo ama chapati

Baki na mimi, na mimi
Kipenzi, kipenzi
Nikushughulikie aah
Kila asubuhi, nirauke ili nikupikie

Nikuogeshe, ogeshe
Nikuvishe, vishe
Mpaka uvutie aah
Kamba za viatu beiby, mi nikufungie

Baki na mimi
Nitang'ang'ana nikue chochote ambacho unatamani
Oooh baki na mimi
Nitakonda utavimba, utakopa nitalipa mama

Baki na mimi
Naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
Oooh baki na mimi
Ukisota nitaiba, utapona na tiba mama
Baki na mimi!

Na kama ungewa, mwanasiasa
Ningepiga campaign zako 
Nikusifie, kwa giza  na mwangaza
Mpaka kwa maadui zako mmmh

Nitakubusu bila uoga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ningewa kijiko lazma ungewa sahani
Kututenganisha hilo haliwezekani

Baki na mimi, na mimi
Kipenzi, kipenzi
Nikushughulikie aah
Kila asubuhi, nirauke ili nikupikie

Nikuogeshe, ogeshe
Nikuvishe, vishe
Mpaka uvutie aah
Na ukichoka nikubebe, wivu wasikie

Baki na mimi
Nitang'ang'ana nikue chochote ambacho unatamani
Oooh baki na mimi
Nitakonda utavimba, utakopa nitalipa mama

Baki na mimi
Naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
Oooh baki na mimi
Ukisota nitaiba, utapona na tiba mama
Baki na mimi!

Watch Video

About Baki na Mimi

Album : Baki na Mimi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 24 , 2020

More LETEIPA THE KING Lyrics

LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl