Washa Lyrics by KIRIKOU AKILI


Sikiliza navyotaka mi, kukufyakata
Tena peace punguza, izo widada
Izo sali za kudanga danga ni za madada
Umenipanda kichwani, leo huna bahati

Lazima nitakubra dada
Si ulisema unataka battle
Weka viti tuchane na mshete dem wako
Ili baadae muachane

Unajisexy-isha eti una macho mazuri
Utakuja kupakata wahuni sio watu wazuri
Siku hizi nazama ndichi eti zile mbivu
Zile mbivu sizitaki mimi nataka mbichi
Maswala ya kukaa uchi, huo ni upuzi
Kamstue dem wako maana anapenda vijiti

Mara simba dume, mara simba ndike
Mi naona makuku dume na makuku dike
Waambieni wasubiri asubuhi wakawike kokoriko
Ko Ko Ko Ko, kokoriko

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Wananiita Kirikou aka Baba Yao
Watoto tuwapigi kwanza chapa tu vibao
Unajiita pasipoti wakati una flow moja 
Ya mikikiki

Mmmh yoh, kudadadeki
Mara pop, tushakusoma
Mi nachana na nachana kichina
Mmmh haa, Jin Jho hua

Bubble bubble it hasa
Saba milaba nakata na toba kimada 
Muhaba ni chap chap
Kisha madem ni pop

Namwambia fyatu fyatu
Siku hizi niko Bantu
Eeeh, siku hizi niko Bantu

Mara simba dume, mara simba ndike
Mi naona makuku dume na makuku dike
Waambieni wasubiri asubuhi wakawike kokoriko
Ko Ko Ko Ko, kokoriko

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Aki ya nani mwaka huu 
Lazima tuwawashe
Tuwawashe tusiwawashe?
Washa, washa, washa washa washa

Wabaya
Washa, washa, washa washa washa
Wanaona haya
Washa, washa, washa washa washa

Watch Video

About Washa

Album : Washa (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 23 , 2019

More KIRIKOU AKILI Lyrics

KIRIKOU AKILI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl