KALIZY Natamani cover image

Natamani Lyrics

Natamani Lyrics by KALIZY


Yamenipiga juju penzi vunja chungu inauma (Inauma)
Umenifanya zuzu, umenipe machungu kaka kuona
Kweli we ndo yule, ulokuwa ukilala kifuani unasinzia
We ndo yule ulikuwa ukichelewa nyumbani unalia

Ni sawa bubu hasemi
Ila kusikia anasikia
Ni sawa kipofu haoni
Ila kusikia anasikia

Ah ulizifuga zangu mboni
Macho nikaweka panzia
Oh nah nah wouwoo

Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena

Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena

Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama

Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama

Ni kama umezima mshumaa
Koroboi haina mafuta
Sioni pa kupapasa

Mapema umekata tamaa
Na tama lizoee njaa
Ni kweli umenichoka

Ni kama Kusah na Ruby
Umeshafanya kusudi
Kuniumiza kuniumiza

Mmmh imekuwa ya Vanny na Jux
Hivi kweli hukumbuki
Unaniumiza, unaniumiza

Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena

Nakesha sana kwa sangoma
Nashindwa lala kukoroma
Natamani kukuona nikuone tena

Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama

Natamani, urudi mama
Natamani, urudi tena
Natamani, rudi mapema
Natamani ooh mama

Watch Video

About Natamani

Album : Natamani (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

More KALIZY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl