Pokea Lyrics by JANET OTIENO


 

Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea

Machozi yananitoka
Nikiketi chini nifikirie
Umbali nilikotoka 
Hata sijui ni vipi nisimulie(aaah)

Mwema, umekuwa mwema kwangu
Tena umekuwa nguzo yangu wee
Umenifunza subira
Ukanizingira kando na kando

Ah tena wanisikia
Nikianguka waniinua eeeh(aaah)

Sasa mahitaji naweka kando
Sijasahau mema
Na ningependa ujue
Vile moyo unafurahishwa na we

Oooh, maneno yananiishia aah
Umenishangaza kwa matendo yako
Vile wanikumbatia aah
Sina lingine

Lilobakia ni 
Pokea shukurani zangu pokea
Sina budi nikwambie
Pokea shukurani zangu pokea

Kwa uaminifu wako
Pokea shukurani zangu pokea
Kwa matendo yako makuu
Pokea shukurani zangu pokea

Ni wewe ulinifunza 
Ati shida ni mtumwa wangu
Tena ukanifanya
Mwana ndani ya ufalme wako

Neno lako ni taa
Hata kwa giza nimulikiwe
Tena wewe ni jiwe
Nikianguka nishikiliwe

Matendo yako yameninyamazisha
Siwezi laumu
Mkono wako wa kiume
Umenishindia magumu

Eeeh, na kila mara wanikumbuka
Kwa mipango yako miema
Eeeh yale mabaya waniondolea 
Unaniwazia mema

Oooh, maneno yananiishia aah
Umenishangaza kwa matendo yako
Vile wanikumbatia aah
Sina lingine

Lilobakia ni 
Pokea shukurani zangu pokea
Sina budi nikwambie
Pokea shukurani zangu pokea

Kwa uaminifu wako
Pokea shukurani zangu pokea
Kwa matendo yako makuu
Pokea shukurani zangu pokea

Watch Video

About Pokea

Album : Pokea (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 09 , 2019

More JANET OTIENO Lyrics

JANET OTIENO
JANET OTIENO
JANET OTIENO
JANET OTIENO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl