Nina Siri Lyrics by ISRAEL MBONYI


Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Wambie wanaolia wakiteswa na malimwengu;
Waonjeni neema yake na rehema yake mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Wambie wanaolia wakiteswa na malimwengu;
Waonjeni neema yake na rehema yake mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen

(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen

Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Watch Video

About Nina Siri

Album : Nina Siri (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 27 , 2023

More ISRAEL MBONYI Lyrics

ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl