IBRAAH Sawa cover image

Sawa Lyrics

Sawa Lyrics by IBRAAH


It's Bonga
(Oh nah nah nah nah nah aah)

Asante Mungu Baba uliye mwema
Nimeiona siku nyingine ya furaha
Hali sio haba sio njema
Wa kuniponya nipate hata chembe ya furaha

Maana wazazi wananitegemea
Na ninakaribia mi kuitwa Baba
Nami ndunguzo waloegemea
Sina kitu nimechalala nimevava

Uniepushe mabaya dunia
Yasijenikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia
Ni nusuru muumba

Katu nisikate tamaa
Niende kusaka tonge
Nipate ama nishinde njaa
Moyoni upige konde, ni sawa eh!

Ni sawa, ni sawa
Nami nitafika (Ata nikikosa sawa)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Ah ridhiki we ndo unayegawa)

Sawa, ni sawa
Nami nitafika (Mwanadamu hawezi panga)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Sitozuguka kwa waganga)

Natapa tapa elimu sina 
Mi kusoma sijasoma
Nami nasaka nijenge heshima
Mi nakoma ju wananichoma

Ni wewe pekee ndo naye jua
Ah mbele yangu na nyuma yangu
Mie mpweke naomba dua
Ah Baba fungua ridhiki zangu

Nashukuru Baba, pumzi unayonipa 
Maisha naendelea
Ila kingine Baba, nadhalilika
Huu mzigo unanielemea

Baba niwewe Baba (Ni wewe)
Niwe ndo msaada (Ni wewe)
Ni wewe, ni wewe 
Baba ni wewe 

Uniepushe mabaya dunia
Yasijenikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia
Ni nusuru muumba

Katu sikate tamaa
Niende kusaka tonge
Nipate ama nishinde njaa
Moyoni upige konde

Ni sawa, ni sawa
Nami nitafika (Ata nikikosa sawa)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Ah ridhiki we ndo unayegawa)

Sawa, ni sawa
Nami nitafika (Mwanadamu hawezi panga)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Sitozuguka kwa waganga)

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Music Worldwide
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2020

More IBRAAH Lyrics

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl