Nikomeshe Lyrics by HARMONIZE


Oooh No, 
Kesi serious...Chii
Konde Boy

Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
Wanishika kwa hapa(brr Okey)
Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
We nishike kwa hapa

She is so fine, anapendeza hata bila vipodozi
Eeh, and I love she giving me over dozi
Eeeh, I love the way you move your body
(Eeh eeh body oooh)
Unanipandisha midadi (eeh eeh body oooh)

Eeeh eeh, kachiri kachiri saga
Inuka funga kanga, kachiri saga
Matajiri matajiri saga
Huko wanajipanga matajiri

Basi go down, kwa nyuma
Fanya kama mbuzi amegoma
Slow down kwenye kona, ii
Mwisho wa reli kigoma 

Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(Iii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)

Nasema sikuwatch, beiby nakukunda
Unavyo ilamba mie hoi 
Unajuwanga kuni touch
Nani kakufunda, hiyo misamba sikohoi

Eeeh, waking'ata nakuuliza we 
Kwa jiko watenga ni kuunguza kisoi
Yaani tuzidi kuwaumiza we
Naleta washenga tuwaache igizo we

Itafune ing'ate ka Big G 
Aaah kama Big G
Kisha nikumbate tujigiji 
Aaah tujigiji

Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(ii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)

Ebo! anafanyaje tena?
Analenga, anale
Anaonyesha maufundi 
Analenga, anale

Hii, uno la mgambo kama gundi
Analenga, anale
Anafanya kama anapanda juu ya dari
Analenga, anale

Hii kameinuka kichaa kichaa
Analenga, anale
Eeey, brrr Okey
(OMG is Spenser)

Watch Video

About Nikomeshe

Album : Nikomeshe (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 11 , 2019

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl