
Paroles de Makonzi
...
Paroles de Makonzi Par ZUCHU
LG iiih
LG ah
Aah, ah ah
Mr lg
Ndo nkakuambia ataniacha
Haha hehe unachekesha sana
Hizo ni ndoto za alinacha
Haha, hehe anakundanganya
Hata umpe nini
Hunin’goi Unajisumbua mwaya
Huyo bila mimi hatoboi Nimemshika pabaya
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukuta nae
Patachimbika, nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika, nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Kha Kwanza unitwambie umenizidi nini
Kubattle na mie uje wenzako tisini
Uliza uambiwe mimi mtoto wa nani (kopaa)
Ukijifanya chawa mi mwenzako kunguni (huna nini)
Huna jipya naenda kwa mwampopooo
Kikisafishwa labda ndo upate sokoo aah
Huna nini
Huna jipya nenda kwa mwampopoooo
Kikisafishwa labda ndo upate sokoo
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukutana nae
Patachimbika, nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika, nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Ecouter
A Propos de "Makonzi"
Plus de Lyrics de ZUCHU
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl