YOUNG DEE Noma Kweli cover image

Paroles de Noma Kweli

Paroles de Noma Kweli Par YOUNG DEE


Young Daresalama

[VERSE 1]
Kuliko unipende, alafu kesho ukanichukia
Bora nikuwepo utakuwa umenisaidia
Najua mengi umeshasikia na uwongo pia
ila sijali sasa hivi
Nachotaka ni kuskia ukisema

[CHORUS]
Heee... Sema sema hee.. yeah
Sema heee... sema hee!
Let’s go to the....
sema sema sema
Hee! Hee! Hee! Heee!

[VERSE 2]
Siku nzuri asubuhi kumekucha
Ndo nakumbuka kwamba leo na-** kitanuka
Beiby nae kachacharuka
Kakuta text za madem wanataka kuinuka
Home kikanuka  suu
Nisisindwe  ku solvu
Nikakumbuka tu kusema am sorry
Nikamvuta njoo , hapo nabukta soo
Kutoka nnje ka nimeshikwa ukooni

[CHORUS]
Heee... Heee!
Noma Kweli
Heee... Heee!
Let’s go, twende
Hee! Hee! Hee! Heee!
Hee! Hee! Hee! Heee!

[VERSE 3]
Tumekaa siku ya pili
Baada ya moja mbili
Nikaona dalili
Tutaanza kimwili
Sikusubiri nikaona bora kujitenga
Uoga nao akili
Nikaona bora kujitenga
MARA hiki, mara kile
mara kiki, mara zile
Za kufanya mimi nisile
Niko hivi kisa ni wewee
Aaah! Sio kifo mpaka milele
Niko na wewe

kuliko unipende, after show ukanichukia
Bora nikuwepo utakuwa umenisaidia
Najua mengi umesikia na uwongo pia
Ila sai nachotaka ni kuskia ukisema

Eeeehhh… sema sema
Noma kweli
Eeeehhh… sema ... eeh!
Let’s go to the... twende
(hee! hee! Hee!  Hee!

Tony Drizzy…
Touchsound

 

Ecouter

A Propos de "Noma Kweli"

Album : Noma Kweli (Single)
Année de Sortie : 2018
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 05 , 2019

Plus de Lyrics de YOUNG DEE

YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl