
Paroles de Raha
...
Paroles de Raha Par YAMMI
Aki babe naona mi na wewe
Kama adamu na hawa
Ivi tuko sawa sawa
Utaniua ntakwama
Mi mwengine sina
Kwani unafanyaga vipi
Ivyo mbona rah asana
Ooh baby ongezaa
Ongeza maujuzi nikupeleke
Kwa mkweo we wa wapi wewe
Zanzibari au tanga
Unanikoleza baba kazi ipo
Mbona kazi wanayo
We ni fundi wewe ukinvunja utanjenga
Yani naona raha
Naona raha naona
Naona raha naona raha naona raha
Naona raha
Unanipenda mpaka naogopa
Naona raha naona
Naona raha naona raha naona raha
Yani naona raha
Ogepa matapeli
Penzi letu tayasi linahati miliki
Apa mwisho wa reli
Nimeshapatikana sitikisiki
Wanafki washa feni
Watarusha madongo hayatufiki
Mi na we ndo movie
Waje watizambe wawe mashabiki
Usije ponzwa na ujana
Babe bade mapema
Ng’ang’ana na mimi darling
Na moyo umetulizana
Wa changu chanda chema
Nyunde na msumali
Ooh babe ongezaa
Ongeza maujuzi nikupeleke
Kwa mkweo we wa wapi wewe
Zanzibari au tanga
Unanikoleza baba kazi ipo
Mbona kazi wanayo
We ni fundi wewe ukinvunja utanjenga
Yani naona raha
Naona raha naona
Naona raha naona raha naona raha
Naona raha
Unanipenda mpaka naogopa
Naona raha naona
Naona raha naona raha naona raha
Yani naona raha
Ecouter
A Propos de "Raha"
Plus de Lyrics de YAMMI
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl