
Paroles de Amefanya Mungu
...
Paroles de Amefanya Mungu Par WAPENDWA MUZIKI
Amenivua vazi langu la aibu
Na moyo wangu akatibu
Sina budi ila nimusifu
Ona vile amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ni yeye, ni yeye amefanya Mungu
Ni yeye yeye amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ni yeye, ni yeye amefanya Mungu
Ni yeye yeye amefanya Mungu
Nina jambo nina jambo
Ninatamani niseme
Jamani nina jambo ninatamani niseme
Umenifunika na neema yako
Tena umenifadhili mimi
Umeondoa vizuizi
Kwa mkono Baba umenibariki
Umenihurumia mimi, umenikumbuka mimi
Umeondoa vizuizi
Kwa mkono Baba umenibariki iiih
Ona vile amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ni yeye, ni yeye amefanya Mungu
Ni yeye yeye amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ni yeye, ni yeye amefanya Mungu
Ni yeye yeye amefanya Mungu
Ame amenipendelea aah
Yesu ame amenipendelea aah
Ame amenipendelea aah
Yesu ame amenipendelea aah
Ninapendeza kwake nametameta
Ninapendeza kwake nametameta
Ninapendeza kwake nametameta
Ona vile amefanya Mungu
Ona vile amefanya Mungu
Ni yeye, ni yeye amefanya Mungu
Ni yeye yeye amefanya Mungu
Ninapendeza kwake nametameta
Ninapendeza kwake nametameta
Ninapendeza kwake nametameta
Ecouter
A Propos de "Amefanya Mungu"
Plus de Lyrics de WAPENDWA MUZIKI
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl