...

Paroles de Emmanuel Par VESTINE AND DORCAS


Kwa upande wako nitasimama himara

Hata marafiki wanitenge

Kila mahali nizatungukwa na neema

Nitazidiwa na nyimbo za sifa

Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena

Waliocoka hupata nguvu mpya

Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu

Kwa kila ajabu uliofanya, niliona sababu za kukuabudu

Kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa Juu yangu

Ooooooh Niligonga mlango

Ooooooh ukanifunguliya

Ooooh I will Glorify you

I ‘go lift you high

Kwa uhuru nimepata

Umekaa nami katika zhoruba

Kupitia mwoto tumekuwa pamoja

Myoyo yetu ilijaliwa na woga

Huruma yako ikanikomboa

Upendo wako ni ngao yangu

Golliati hatanizowea

Ushindi wako ni fahari yangu

Fimbo yako inaniongoza

Mwana kondo mwenye miujiza

Ushindi wako ni fahari yangu

Kwa kila ajabu uliofanya

Niliona sababu za kukuabudu

Kwenye kila chozi oliyofuta

Kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu

Ooooooh Niligonga mlango

Ooooooh ukanifunguliya

Ooooh I will Glorify you

I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

Kwa pleasure na Sorrow through every hollow

I will always walk in steps you called me to follow

Katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako

Kwa kila ajabu uliofanya

Niliona sababu za kukuabudu

Kwenye kila chozi oliyofuta

Kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu

Ooooooh Niligonga mlango

Ooooooh ukanifunguliya

Ooooh I will Glorify you

I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

Kwa kila ajabu uliofanya

Niliona sababu za kukuabudu

Kwenye kila chozi oliyofuta

Kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu

Nimuogope nani Yesu

Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa

Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel

Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu

Ooooooh Niligonga mlango

Ooooooh ukanifunguliya

Ooooh I will Glorify you

I ‘go lift you high

kwa uhuru Nimepata

Ecouter

A Propos de "Emmanuel"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Jul 17 , 2025

Plus de Lyrics de VESTINE AND DORCAS

VESTINE AND DORCAS
VESTINE AND DORCAS
VESTINE AND DORCAS
VESTINE AND DORCAS

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl