
Paroles de Emmanuel
...
Paroles de Emmanuel Par VESTINE AND DORCAS
Kwa upande wako nitasimama himara
Hata marafiki wanitenge
Kila mahali nizatungukwa na neema
Nitazidiwa na nyimbo za sifa
Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena
Waliocoka hupata nguvu mpya
Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu
Kwa kila ajabu uliofanya, niliona sababu za kukuabudu
Kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa Juu yangu
Ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
Kwa uhuru nimepata
Umekaa nami katika zhoruba
Kupitia mwoto tumekuwa pamoja
Myoyo yetu ilijaliwa na woga
Huruma yako ikanikomboa
Upendo wako ni ngao yangu
Golliati hatanizowea
Ushindi wako ni fahari yangu
Fimbo yako inaniongoza
Mwana kondo mwenye miujiza
Ushindi wako ni fahari yangu
Kwa kila ajabu uliofanya
Niliona sababu za kukuabudu
Kwenye kila chozi oliyofuta
Kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
Ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata
Kwa pleasure na Sorrow through every hollow
I will always walk in steps you called me to follow
Katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako
Kwa kila ajabu uliofanya
Niliona sababu za kukuabudu
Kwenye kila chozi oliyofuta
Kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
Ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata
Kwa kila ajabu uliofanya
Niliona sababu za kukuabudu
Kwenye kila chozi oliyofuta
Kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
Ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru Nimepata
Ecouter
A Propos de "Emmanuel"
Plus de Lyrics de VESTINE AND DORCAS
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl