TUMAINI MBEMBELA Yesu Nataka Kusema Nawe cover image

Paroles de Yesu Nataka Kusema Nawe

Paroles de Yesu Nataka Kusema Nawe Par TUMAINI MBEMBELA


Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nisikie 

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Hodi eeh Yesu, nataka kusema nawe
Naomba nifungulie, nataka kusema nawe
Naomba nisikilize, nataka kusema nawe
Nataka kusema nawe, Rabi
Nataka kusema nawe, Shammah
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe ni tofauti na wanadamu
Wewe uko tofauti sana na wanadamu
Wanadamu nikisema nao, kesho watanigeuka
Wanadamu nikisema nao, kesho watanizunguka

Nataka kusema nawe, wewe wee Yesu
Nataka nikuambie baba
Wewe huna kifua cha kutunza siri yangu
Wewe ni mwaminifu
Wewe una majibu, ya maswali yangu
Wewe una majibuu...

Nataka niseme nawe, kwa habari yangu
Nataka niseme nawe, kwa habari ya kanisa 
Nataka niseme nawe, kwa habari ya nchi yangu
Nataka kusema nawe, wewe msikivu
Nataka kusema nawe, wewe mnyenyekevu
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe Mungu unanijua, toka kuzaliwa kwangu
Haja yangu unaijua, naomba ukaniguse
Gusa maisha maisha yangu
Gusa maisha huduma yangu
Nifute machozi eeh Yesu

Mbele yangu nawaleta, mbali mbali
Wengine ni wagonjwa, naomba ukawaponye
Hawana baba wala mama, wewe ni baba yao
Naomba ukawalee... hee

Wengine ni wajane, wewe ni mume wao
Naomba ukawalee
Natamani nchi yangu, kuona amani inatawala
Kila siku ni burudani, hakuna mabomu
Hakuna vilio, siku zote ni amani
Tawala viongozi wetu, bila wewe hawawezi
Hekima yako itawale, katika maisha yao

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe, nakutegemea 

Ecouter

A Propos de "Yesu Nataka Kusema Nawe"

Album : Yesu Nataka Kusema Nawe (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

Plus de Lyrics de TUMAINI MBEMBELA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl