
Paroles de Shukuru
Paroles de Shukuru Par TONZI
[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
[VERSE 1]
Na wewe ni neema zinazokupa uhai
Maishani uliepuka mabaya mengi yaliyoweza kukuua
Lakini kwa neema za Mungu za kila mara akakurinda
kumbuka kushukuru kwa neema zake Mungu
Na wewe ni neema zinazokupa uhai
Maishani uliepuka mabaya mengi yaliyoweza kukuua
Lakini kwa neema za Mungu za kila mara akakurinda
kumbuka kushukuru kwa neema zake Mungu
[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
[VERSE 2]
Anatulinda hasinzii,huwa macho kila mara
Ingawa tunaona hatari,tukakata tamaa
Anakujya kutubembeleza tukaimba shukurani
Huigeuza huzuni yangu kuwa furaha
wakati wa kulia ukaisha nibaki nikiimba shukurani
[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukurU
Ecouter
A Propos de "Shukuru"
Plus de Lyrics de TONZI
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl