Paroles de Why Me Par TIMMY TDAT


Msaka tonge niko streeti, naisaka doh
Ndo naanza mziki na bado sijapata show
Niliambiwa kuwa elimu ni ufunguo
Mbona nimesoma, au niliyo nayo si ya mlango huo
 
Huh, popote nazisaka chambi
Shida zingejenga mwili ningeota kitambi
Madada wa kitaa wanaona nyea kambi
Utawasikia, mwizi bwana gani huyo mvuta bangi
 
Hawa mabeste waafrika
Kuitwa kuigiza maisha feki huko Insta
Chapaa naitafuta ila bado haijalipa
Nimiliki manzee msupa kama Vera Sidika
 
Why me, why me, why me
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Why me, why me, why me
Napambana wala si kidogo
 
Why me, why me, why me
Ata marafiki wamekuwa mbogo
Why me, why me, why me
Why me, why me, why me
 
Yeah, sina fare toka Inda natembea
Nina mkidi home natry kumlea
Mathe pia, haezi tembea
Huh, mi na shida tushakuwa kama pair
 
Napiga chuom nakutana na afande
Shili nyamwa anataka tu kipande
Sina phone manze sina hata kabambe
Nitawaambiaje home leo nalala rumande
 
Ni ati tunataka hizo brand new car
Wacha kutujudge na vile si hukaa
Tulisha reform tulibadilika
Tupatie chance tukajenge jina
 
Why me, why me, why me
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Why me, why me, why me
Napambana wala si kidogo
 
Why me, why me, why me
Ata marafiki wamekuwa mbogo
Why me, why me, why me
Why me, why me, why me
 
Huh faraja ndo after dhiki
Ya daraja sipitiki
Kabla ata saa mbili
Wanasemaga ni sisi
 
Ukimwaga jasho alafu upate doh
Hiyo ni mori
Ukihustle hadi ukate moyo
Hiyo ni ngori
 
Nimeacha pang'ang'a na napambana nang'ang'ana
Maana, hawa mbang'a washenzi sana
Bado nahustle sijapata doh
Namwaga jasho ka gorocho Kariakor
 
Aaah eeh, namwomba Mo-la
Promoter apige simu za show
Salary ndo inaleta temptation
Na makarao wana bado wanataka attention
So tafuta Kasabuni, ukaspend bunda kitaa bamba
Na mbio za sakafuni sio za punda
 
Why me, why me, why me
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Why me, why me, why me
Napambana wala si kidogo
 
Why me, why me, why me
Ata marafiki wamekuwa mbogo
Why me, why me, why me
Why me, why me, why me

Vicky pon this
 
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Napambana wala si kidogo
 
Why me, why me, why me
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Why me, why me, why me
Napambana wala si kidogo
 
Why me, why me, why me
Ata marafiki wamekuwa mbogo
Why me, why me, why me
Why me, why me, why me
Kila nachofanya kinakuwa zogo
Napambana wala si kidogo

Ecouter

A Propos de "Why Me "

Album : Why Me (Single)
Année de Sortie : 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2019

Plus de Lyrics de TIMMY TDAT

TIMMY TDAT
TIMMY TDAT
TIMMY TDAT
TIMMY TDAT

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl