SPICE MUSIC Keg na Mandom cover image

Paroles de Keg na Mandom

Paroles de Keg na Mandom Par SPICE MUSIC


Kaa rada juzi pastor ariforwo
Ukileta mehe morio wangu utagothwo
Niko zabe nikichana na mamorio
Hapa ukicheza morio wangu utanyorio

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Zangu zimeshika, ile vako Zzero
Itisha utapewa nie nigoreha billo
Niko rieng ndani na mapedi wa ruriro
Mi hukemba wote toka niachwe na Wanjiro

Parachichi
Vile zimeshika utadhani nimechizi
Mrembo cheza chini ndo tufike kwenye kiti
Oya leta njugu nimpige mavijiti, titi titi

Vile nawaroga utadhani mi muhindi
Vile nafogotha utadhani zimetindi
Leta kiberiti niko na vijiti
Tukiwashe fiti, tusikie tusikie

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Leta tu kishada, washa tu kishasha
Vile niko doh nazitoa tu za ah-ah
Niko na kiganda ya kuuza shada
Ndom zikimea napelekea warasta

Kikilandi washa zingine
Akutoke, kemba mwingine
Ni kapoko kupeana
Morio wangu basi suka mwingine

Leta mavodo zijazwe kwa pindo
Niko na moto niseti tu kindom
Biz ni ya ma yoh, leo kuna form
Leo kuna form nikuseti tu kindom

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Niko keg na mandom
Niko keg niko keg na mandom eey
Muratina kwa kindoo eey
Muratina tutaijaza kwa kindoo

Napiga kitu bado
Mi ndio dakitari ni lazima apewe chanjo
Napiga kama Rambo
Vile kimeshika utadhani mi ni kanjo

Si leo apigwe chuma ka za mwizi
Na leo atachotwa tu kindizi
Makali tulandishe ndo tuharibu maini
Leo hizo ng'ang'o nakoroga na mahindi

Nimetindi, niseti ndom eey
Shika phone eey, we ni call
Kama kuna form eey

Seti ndom eey
Shika phone eey, we ni call
Kama kuna form 

Ecouter

A Propos de "Keg na Mandom"

Album : Keg na Mandom (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Spice Entertainment
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 22 , 2019

Plus de Lyrics de SPICE MUSIC

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl