SHOMARI CHRYZO OMBI LANGU cover image

Paroles de OMBI LANGU

Paroles de OMBI LANGU Par SHOMARI CHRYZO


Baba, napiga goti langu, 
Usiwape nafasi, adui zangu wanataka nife. 
Ona, wanavyo nizihaki, wanitakia kifo,
Eh bwana wangu ma maneno wana nena yasini pate, 
Mitego wanatega yasini nase, 
Mkono unishike nisi anguke, 
Nisi kate tamaa nawavyo nizihaki,
Eh bwana wangu ma maneno wana nena yasini pate, 
Mitego wanatega yasini nase, 
Mkono unishike nisi anguke, 
Nisi kate tamaa ushindi wangu sifa nitakupa milele.
 
Baba, napiga goti langu, 
Usiwape nafasi, adui zangu wanataka nife. 
Ona, wanavyo nizihaki, wanitakia kifo,
Eh bwana wangu ma maneno wana nena yasini pate, 
Mitego wanatega yasini nase, 
Mkono unishike nisi anguke, 
Nisi kate tamaa nawavyo nizihaki,
Eh bwana wangu ma maneno wana nena yasini pate, 
Mitego wanatega yasini nase, 
Mkono unishike nisi anguke, 
Nisi kate tamaa ushindi wangu sifa nitakupa milele.
 
Daudi alisema, hajaona mwenye haki akiachiliwa, 
Na mimi naliya njoo kwangu, 
Uoneshe sina hatiya, 
Vita sio vyetu ulisema wapigana mwenyewe, 
Vita sio vyetu ulisema wapigana mwenyewe.
 
Nitaya inuwa macho nitazame milima, 
Msaada wangu utatoka wapi miii, 
Msaada wangu utatoka kwake bwana, 
Asiuache mguu wangu bali anipiganiye vita na adui, 
Nami nita imba sifa zake nikiwa salama, 
Nami nita imba sifa zake nikiwa salama.
 
Rabi naliya, natembea nao shimu wani chimbia, 
Wataka nianguke umo sina hatiya, 
Nakosa laku sema huku navumilia.
Rabi naliya, natembea nao shimu wani chimbia, 
Wataka nianguke umo sina hatiya, 
Nakosa laku sema huku navumilia.
 
Nitaya inuwa macho nitazame milima, 
Msaada wangu utatoka wapi miii, 
Msaada wangu utatoka kwake bwana, 
Asiuache mguu wangu bali anipiganiye vita na adui, 
Nami nita imba sifa zake nikiwa salama, 
Nami nita imba sifa zake nikiwa salama.
 
Thanks, and God bless you!

Ecouter

A Propos de "OMBI LANGU"

Album : OMBI LANGU (Single)
Année de Sortie : 2021
Ajouté par : Shomari Chryzo
Published : Mar 29 , 2021

Plus de Lyrics de SHOMARI CHRYZO

SHOMARI CHRYZO
SHOMARI CHRYZO
SHOMARI CHRYZO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl