SHETTA Bonge la Toto cover image

Paroles de Bonge la Toto

Paroles de Bonge la Toto Par SHETTA


Okey uh, toto shape toto guu guu
Kila unapopita watu macho juu juu
Baby ka umebeba kichuguu
Alafu chuchu ndogo kama vichuguu

Haha, enjoy kuwa na mimi ma
Mwili wako nifunike na madini ma
Safari ya angani na majini ma
Mi ndio king we ndio queen ma

Have it baby pie, my baby bi millionare
Vikao vyangu mawaziri na ma mayor
Zinaletwa ndoa mmezifill ma Bellaire
Matumizi bei juu na bill tunagombea 

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Mami mi ni billionaire
Nifilisi hadi nirudi kwenye u millionaire
Tafuta ki ben 10 ukihonge
Ila nikikifuma aisee kisiombe

Jua nakuzimia ma
Nataka tuzunguke hii dunia ma
Pesa kuzitumia ma
Tusisahau Serengeti Tanzania ma

Tukacheki nyati na swara
Pesa nyingi baby wala sipati hasara
Ikibidi ita na wenzako
Maana huwezi kumaliza peke yako

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama
Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama

Ecouter

A Propos de "Bonge la Toto"

Album : Bonge la Toto (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 14 , 2019

Plus de Lyrics de SHETTA

SHETTA
SHETTA
SHETTA
SHETTA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl