SCAR MKADINALI Kovu cover image

Paroles de Kovu

Paroles de Kovu Par SCAR MKADINALI



Kovu hahaha

Vile mi hufanya, juu ya handaz matire
Ma new comers, wapewe pampers wapime
Ambia Nyash tumemwaminia basi
Lakini tukishampoteza hakuna comeback ingine

Na ukome na hizi, kwanza catch up na zile, mmh
Ndio uroge ka mimi, labda mkamba akuazime
Kifua ujipige, we ni master wa kuchocha
Tunakujua we ni mwere, we si gangster ya kutosha..haha

Na ikibidi tunakuleta juu
Leo ka jana ndio ifilingi ni ka dejavu
Geuka mbang’a, mbona unaniuliza maswali?
unatekwa nyara, unabaki mteja hapatikani

Kutapikwa iwe gas, stove ama kuni
Lakini wako njaa plus choo hawakuni
So kaa unajiona bad baas njoo kwa wahuni
Penye mbaya mbaya, ngori tunasolve kwa mangumi

Na ka unangoja chorus ndio hii
Nimejiset bila compass kwa street
Look ni fresh converse na jeans
Watu player, wasitu hatuplay hatuko concern na shit
Juu sifuati habari mi ni nugu wa news
Ndio ufike hii hali ndugu kwanza nunua views, eey
Niliamini kwamba Mungu wa juu
Ju nilisonga ijapokuwa nilifungwa miguu

Check! (mmh)
Be careful who you beef with
I was only 9 when I was caught shoplifting
I had to check all my neighbours to stop snitching
Now am giving back to my neighbours and that’s real shit

Mama told me am a pain in the neck
But that changed when I started paying the rent
My dad changed he started playing my tracks
But I never change coz you see the plan was to rap

Now we kicking it with the finest
So wakibonga mi si husiki mi na kaa nje
Na ma-celebrity Kenya huwa msiba
Wameshindwa kupea Vera na Huddah mimba

Maisha ya kuiba, tryna get to me but
Busy nikiandika, see am trying to be a leader
I got goons for no reason, me I never leave them
Ndio maana naezanga kujishasha kila region
 
Haha check!
So what the fuck niggas talking about
Started this shit, now these niggas walking around
Tryna beef me, naeza weka glock in your mouth
Kwanza free me, coz the media is locking me out

Kwa sasa wananimiss-use
Na nikikufa keshonajua nita-increase views
Kwa ma-posts watadai was a nice dude
R.I.P Sagini and I swear bro we miss you

Hey, but it’s all fine
Heard this sayings this hoes, motherfuckers talk about that too
I got my glock 9, mama crying aki mtoto wangu be careful

Run a man down in my adidas shoes
Halafu click cluck dadida boom
Scar did this, that, what did I do?
You can never distract me and my goons

Ah, na niko pale kwenye front line
I know that she love me coz the flow fine
Look at what we done-did with no cosign
Na hakuna kitu wanaweza fanya when it’s your time

From today wasoro wakubali
Natoa pain na makoro ni kuburn
Haijalishi what they claim
For my bro am still riding
And it’s true what they say
I follow my crew blindly

Coz
Mama said, baby boy you are a blessing
Mama said, I was born with a message
Mama prayed that I will never get arrested
Mama mama said, but I never listened

Mama said, baby boy you are a blessing
Mama said, I was born with a message
Mama prayed that I will never get arrested
Mama mama said, but I never listened

Mama said, everything is gonna be fine
I know everything is gonna be fine
Mama said, everything is gonna be fine
I know everything is gonna be fine

I should never worry
I know mama praying for me
I know everything will be fine
I should never worry na 
Mama praying for me na
Everything will be fine, yeah
Uko fiti?

Ecouter

A Propos de "Kovu"

Album : Kovu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : May 06 , 2019

Plus de Lyrics de SCAR MKADINALI

SCAR MKADINALI
SCAR MKADINALI
SCAR MKADINALI
SCAR MKADINALI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl