SAUTI SOL Sura yako cover image

Paroles de Sura yako

Paroles de Sura yako Par SAUTI SOL


Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Nakuomba Mungu uwasamehe
Wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
Na maadui wangu nawaombea maisha marefu
Wazidi kuona ukinibariki
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimkana Yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimsulubisha Yesu Messiah bila kusita
Ooh, na
Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Ooh-ooh, yeah)
Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona baba nakutegemea (Oh-oh)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Eh, wewe ndio nategemea)
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona baba nakutegemea (Eh, bwana)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Eh, maisha yangu yote)
Wewe ndio nategemea (Kwa nguvu zangu zote)
Kufa kupona baba nakutegemea (Nakutegemea)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Oh-oh-oh-oh)
Na bwana ni mwokozi wangu
Na tena ni mkombozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana (Kuliko jana)
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana (Kuliko jana)
Kuliko jana (Kuliko jana)
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea (Wewe)
Kufa kupona baba nakutegemea (Wewe)
Chochote kitanikatsia (Uh-huh)
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea (Ooh)
Kufa kupona baba nakutegemea (Nakutegemea)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Na bwana ni mwokozi wangu (Amen

Ecouter

A Propos de "Sura yako"

Album : Live and Die in Africa (Album)
Année de Sortie : 2014
Copyright : (c)2014Enos Olik
Ajouté par : Trendy Sushi
Published : Feb 06 , 2020

Plus de Lyrics de SAUTI SOL

SAUTI SOL
SAUTI SOL
SAUTI SOL

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl