
Paroles de We mzuri
...
Paroles de We mzuri Par Sadimu
We mzuriii unajua
We mzuriii unajuaa ah
We mzuri unajuaa aa ah
We mzuriii unajua aaaa aaah
Kama penzi la nyota mimi mzani yeye mshale
Naona kama masifa akiwa nyuma mi niko mbele
Moyo unasokota mpenzi wangu akiwa mbalitena sinaga pupa
Maana na najua kumkuna kipele
Hohoooo ooooh
Nachokuomba baby niombe pesa
Hata kama sina takukopea
Penzi lako tamu laninogea
Kwenye moyo wangu ushaingia
We ni wangu baby we ni wangu aaah
Mi ni wako honey mi wako aaah aah
Nidekeze kwenye penzi letu
Nikudekeze aah aaah
Nifungie kwenye moyo wako
Nikufungiee aaaah
We mzuriii unajua
We mzuriii unajuaa ah
We mzuri unajuaa aa ah
We mzuriii unajua aaaa aaah
Vita ni kubwa wanataka wakuibe we kipenzi changu
Vita ni kubwa wanataka wakubebe we kichunda changu
Na sijui ngumi ila nitakacho kifanya
Mbona mtakoma tajifunza soon
Ili nivune nazi nisibwage koroma
We ni wangu baby we ni wangu aaah
Mi ni wako honey mi wako aaah aah
Nidekeze kwenye penzi letu
Nikudekeze aah aaah
Nifungie kwenye moyo wako
Nikufungiee aaaah
Ecouter
A Propos de "We mzuri"
Plus de Lyrics de Sadimu
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl