Paroles de Walionicheka Par RINGTONE


Masimango na maneno makali 
Yalikuwa ndio fungu langu
Shida, taabu
Ziliumiza moyo wangu

Masimango na maneno makali 
Yalikuwa ndio fungu langu
Maumivu ya moyo
Yaliinamisha nafsi yangu

Asante Yesu
Kwa kuwa uliiona taabu yangu
Nakushukuru
Kwa kuwa uliona msiba wangu 

Asante Yesu
Kwa kuwa uliiona taabu yangu
Nakushukuru
Kwa kuwa uliutazama msiba wangu eh

Sasa ona ninaendelea
Walionicheka wanaona haya
Asante Yesu kwa kunishindia
Walionicheka wanaona haya

Walikuwa ni mahypocrity
Hawakuwa marafiki wangu wa kweli
Ikifika wakati wa mahitaji
Wananihepa manze kila wakati

Hawakutaka mi niokoke kabisa
Walitaka mi nichanganye kabisa eeh
Ona vile mi nang'ara kabisa
Ju nilifuata Yesu kabisa

Yesu wangu nakufuata we
Wacha wao waende na rieng
Yesu wangu nakufuata we
Wacha wao waende na rieng

Sasa ona ninaendelea
Walionicheka wanaona haya
Asante Yesu kwa kunishindia
Walionicheka wanaona haya

Asante Yesu
Wingi wa huruma
Umenishika mkono
Mbele naendelea

Eeeh Yesu
Wingi wa huruma
Umenishika mkono
Ninaendelea

Uko nami(Uko nami) 
Uko nami baba(Uko nami)
Uko nami(Uko nami) 
Uko nami baba(Uko nami)

Waonyeshe(Waonyeshe)
Waonyeshe(Waonyeshe)
Waonyeshe(Waonyeshe waone)
Waonyeshe(Uko nami eeh...)

Uko nami(Waonyeshe, waonyeshe)
Uko nami(Waonyeshe, waonyeshe)
Waonyeshe waone 
Waonyeshe(Uko nami eeh)

Waonyeshe baba uko nami
Mwokozi kwako sihami
Matatizo sipati
Ju sasa wewe uko nami

Amina, amina, amina.....
Amina, amina, amina.....

Ecouter

A Propos de "Walionicheka"

Album : Walionicheka (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 05 , 2019

Plus de Lyrics de RINGTONE

RINGTONE
RINGTONE
RINGTONE
RINGTONE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl