Paroles de Sota Par REKLES


Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa
Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa

(Mavo on the beat)

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

[Mejja]
Gari ni ya sugarmummy
Keja aliomba Mwaniki
Looku aliomba jirani
Na kwa baze vile anajidai

Bazu bazu bazu
Hauna kakitu bazu wa uduu
IG chocha maisha ya juu
Caption Lamu with my boo

Lifestyle na madeni
Ni kuchotwa chotwa na benki
Wacha kupost ukichocha
Ati uko Lamu na vile umesota

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

Cheki ati bro umesota na unakataa
Na ati pia umeokoka unaendanga church
Unadai una chopa na hauna hata bike
Mi adi sijui mbona ama uko mangwai

Hmmmh haa! 
Ama jo ni jaba zimerunda
Na we husema unaishi Runda
Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ayayayaya mbona ulichochana umebuy ndae
Bado uko na deni hadi ya mayai
Ona mpaka Tala inakudai
Zidi kujigamba

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa
Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa

Hmmmh haa! 
Ama jo ni jaba zimerunda
Na we husema unaishi Runda
Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

(House of Badass)

Ecouter

A Propos de "Sota"

Album : Sota (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 27 , 2020

Plus de Lyrics de REKLES

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl