PITSON Nisaidie cover image

Paroles de Nisaidie

Paroles de Nisaidie Par PITSON


[VERSE 1]
Nisaidie Baba nisiwahi lala njaa
Nisaidie Baba nisipatwe na balaa
Hasara iwe mbali nami hata kwa biashara
Ninachouza wanunue nisibaki na bidhaa
Aah aaah aaah
Nisiwai kosa pesa ya kulipa nyumba ya kukodisha
Pia unipe yangu nisiishi sana ya kukodisha
Jinsi ya kupata doo wewe Baba ndio utanionyesha
Utatoa vitu vinavyonikondesha
Aah aaah Nisaidie
Aaah aaah Nisaidie

[VERSE 2]
Itakuwaje baba jirani wanajua nimeokoka
Na vile mimi ninateseka niko na deni hata kwa mama mboga.
Wamenidharau watakudharau
Mungu wa Ibrahimu waonyeshe kwamba hujanisahau
Uuuu uuuu uuuu
Kama Shadrack Meshack Abedinego
Hata wanirushe kwenye moto
Nikikosa ya dunia bado sitawainamia
Sitawainamia
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
??
Kwa kila kitu nifanyacho Baba nisaidie, nisaidie
Kwa kazi ya mikono yangu Baba nisaidie, nisaidie
Uniweke mbali na balaa baba nisaidie, nisaidie
Niweke mbali na hasara
Nisaidie, nisaidie

Ecouter

A Propos de "Nisaidie"

Album : Nisaidie (Single)
Année de Sortie : 2020
Ajouté par : Farida
Published : Oct 19 , 2020

Plus de Lyrics de PITSON

PITSON
PITSON
PITSON

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl