
Paroles de Waah! Parody Chwaah
Paroles de Waah! Parody Chwaah Par PADI WUBON
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Tamu hujatekwa naye
Tamu unamsikia, tamu hujatekwa naye
Kama hujatekwa naye, tamuu
Tamu hujatekwa naye
Kwa mwenyenyo mwenyenyo
Na akipata pengo kisu utanolewa
Kazi fulani fukara
Neka kali kwa busu
Stepo zake mbaya hivi inawahusu
Mtamjudge mabaya, huwa mnamtusi nyinyi
Hamjavuta mawaya
Na mwaka huu lazima atutumie
Anaingia cha kike, cha kike
Anaingia cha kike, cha cha cha kike
Anaingia cha kike, cha kike
Anaingia cha kike, cha cha cha kike
Chumbani hamwezi
Kutupatia macandles
Kwa chenga hamtuwezi
Mnakwishaga mabundles
Omwami akiingia tu
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Ah kwenye balcony
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Iwe chooni au uwanjani
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Anawachukua anawafyeka chwaah!
Tangu usiingie na kana joto
Mateso mjibebe
Oya kama ni joto, mateso mjibebee
Jibebee, jibebee
Jibebee, jibebee
Jibebee, jibebee
Umepatwa ukichimba ye
Umepatwa ukichimba ye
Mpatie njugu, mpatie makaa
Upatie mpaka umpatie
Napenda chuma, napenda chuma..
Eeeh aah...eeeh aah
Usiniite usinitouch
Salamu weka kwa miguu
Usiniite usinitouch
Salamu weka kwa miguu
Mwezangu umepatika
Dhuluma dhuluma
Umeshindwa kujitetea
Dhuluma dhuluma
Ecouter
A Propos de " Waah! Parody Chwaah"
Plus de Lyrics de PADI WUBON
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl