Paroles de Nganya Par OKSYDE


(Alex Vice)

Kamagera na mblein 
Mouthing pupu kulilia vako kwa nganya
Macho ni nyanya 
Nilimshow afanye kitu anaweza fanya

Alitujaribu drama
Bana ikabaki ameweka lawama
Pesa nyang'anywa bila kudanganya 
Ofcourse alipigwa manganya

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya 

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya

Drama ndani ya nganya ya 5/8
Makanga alipigwa na hook na teke ya Size 8
Full in feelings na mahisia
Umekuja kunishukishia
Bondea kama sura ni za kutishia
Na tunadondokea mat tukiishia 

Jeshi imezoea kukula haramu
Name it explosion
Take precautions, anti social
Nyongi nasare (Nyongi nasare)
Nusu ikibaki naigeukia ngware
Mbogi ni nare (Mbogi ni nare)
Nusu ikibaki kuwapiga vibare eey

Eey I'm running the hood
Ungemi Eastleigh to Bangu
No body be plug
Whatsapping in the streets
Ka haipitii kwangu

Chapa na Chok, shada na coke 
Monday na talk
Kaa rada ya cops, koto wanakata malocks 
Top badder than most

Kusema na kutenda 
Kikidhani nacheza
Weka hio meda 
Niki uredaa

Eey mpaka wa leo
Kamagera ameweka lawama
After hapo alipandishwa cheo
Siku hizi anakuwanga makanga

Kamagera na mblein 
Mouthing pupu kulilia vako kwa nganya
Macho ni nyanya 
Nilimshow afanye kitu anaweza fanya

Alitujaribu drama
Bana ikabaki ameweka lawama
Pesa nyang'anywa bila kudanganya 
Ofcourse alipigwa manganya

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya 

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya

[Scar Mkadinali]
Jeanika ni waya, shako ni ya kuombaga
Lakini kicks nganya 
Dranya manyanga tushakosana 
Lakini Ex nganya macho ni nyanya

Jaba ya jana hizo pang'ang'a ni za kawa
Makanga aligwaya akabonga na bang'a
Hivo ndo alianzisha beef nganya
So mwisho ni kwake nilisema hawababei kwetu

We ni type ya kutemewagwa mate
Ukileta gapa hizo ma gang gang (Hatchu")
Ilibidi nimebigia mamake your kid is a bitch
Umuonyeshe babake
The new Rong Edition kwa market 
Hizi hauzipatagi na wasee

Vibe imeweza na Guiness mbili
Hali tu in the building
Bado hapa Kenya mi ndio nina ngoma
Imefanyiwa remix mingi
Buda nani kama mimi

Hii ni ya all fans wamenimiss mimi
Wanauliza album nitarelease lini?
Mara ngapi nimeangusha hizo limits chini
Wakidhani mimi nitabaki tu kujulikana mjini

Aah niliskiaga stori 
Wanauliza hawa maboy ni kina nani?
Sisi hizi hatuwaiti maponyi
Ah-ah ni watoi wa Matiang'i

Mi nalia vako kwa nduthi
Hii rende ni rong mi stoki sijali
Baada ya hustle nikirudi
Nachoma kindom kenye shawty amesanif

Kamagera na mblein 
Mouthing pupu kulilia vako kwa nganya
Macho ni nyanya 
Nilimshow afanye kitu anaweza fanya

Alitujaribu drama
Bana ikabaki ameweka lawama
Pesa nyang'anywa bila kudanganya 
Ofcourse alipigwa manganya

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya 

Masoki na mbaya atachanganya
Nganya nganya
Mateka kushinda disanya
Nganya nganya nganya
Chulale nahanya
Mtoto ni premium dranya (Nganya)
Bubu game we still move in silence
Yeah nasanya

Ecouter

A Propos de "Nganya"

Album : Nganya (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 31 , 2020

Plus de Lyrics de OKSYDE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl