
Paroles de Kolo
Paroles de Kolo Par NINI
Hamjui kupenda
Kutwa mwaumiza eeh
Na umenipa donda
Nashindwa uguza eeh
Kama ingekuwa tenda
Ningeshafukuzwa eeh
Ona furaha yangu imegeuka chozi
Ona leo natamani
Ile michezo ya chumbani
Mara sweet mara honey
Kumbe ilikuwa sinema
OOhh jamani
Penzi liko rehani
Nishapoteza na imani
We niache niende eeH
[CHORUS]
Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh eh) kiporo
Wala sitamani (aya wee aya)
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu
[VERSE 2]
Yapo mengi ya kukatisha tamaa ah
Nilivumilia ilimradi niwage na wewe Baba aah
Vituko vingi na fujo kara aah
Nilipuuzia ili tu niishi na wewe
Una kisirani
Ndani ya nyumba tafarani
Vurugu katuko vitani unanionea aah
We mwanaume gani hasira Zaidi
Ya shetani acha niweke begi begani
Maana utanuia aah
[CHORUS]
Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh eh) kiporo
Wala sitamani (aya wee aya)
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu
Ecouter
A Propos de "Kolo"
Plus de Lyrics de NINI
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl