NIKKI MBISHI Nataka Kutoka  cover image

Paroles de Nataka Kutoka

Paroles de Nataka Kutoka Par NIKKI MBISHI


Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
(Tongwe Records) Toka hapa! 
Nitoke vipi?

Bwana misosi akatoka
Hmm ila Alikiba hajatoka
Japo kuna mida ukiingia unamkosa
Anaingia anatoka, anaingia anatoka
Wewe ambaye unataka kutoja hujamuona?

Diamond hajatoka, hujaskia ana ngoma
Anavyo wakanyaga sijui nani atapona
Na Tanasha ana kibendi, ila mi sijakiona
Sijui hikio kibemi, ni lini kitatoka 
Na akitoka tutaona ka ni simba au ni nyoka

Unataka kutoka kwani we mwari?
Unataka kutoka bro ulikuwa ndani?Watu bwana
Ng'ang'ania ng'ang'ania mlango utakubana
Joh Makini si kaka ako, katokea ala
Ye na Fid Q wote bado sana
Hawajawai kutoka wapo wapo sana
AY hajatoka, FA hajatoka
Roma hajatoka, Vee Money hajatoka
Nakushangaa wewe bana unataka kutoka

Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
Haya toka hapa! 

Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 
Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 

Walitest kumwendea simba, kumshika wakashindwa
Akawa boss wa redio na kituo cha runinga, anavimba
Watoto wacha kupiga mayowe, kufuatana DM
(Bro una kipaji, naomba unitoe)

Nyie madogo mnachekesha kweli kweli
Mnawaza kutoka kabla kuingia
Hamjifunzi kuwa tufsia aliyetoka 
Kwa sababu ya ulofa 
Mnaenda ikizagaa zawadi ya unyota eeh

Mwisho inakuwa unyoka, unyama unyamani
Hudai fair play kwenye unyang'anyo
Ubishi unasaidia, ndio maana sitoki
Nang'ang'ana sing'oki, kufanana usifosi

MB Doggy ametoka
Mr Nice ametoka
Ferooz ametoka
Fathe sele ametoka

Inasemekana eti kwenye game wamechoka
Wanaotaka kutoka fuateni hizo ndoto
Mnazi ota

Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
Haya toka hapa! 


Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 
Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 

Ecouter

A Propos de "Nataka Kutoka "

Album : Nataka Kutoka (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 09 , 2019

Plus de Lyrics de NIKKI MBISHI

NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl