Paroles de Katika Par NAVY KENZO


Yeaaahh yeah.. oh na
Nahreel on the beat

Katik, katika aah eh... Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..... Katik, katika aah eh

[VERSE 1]
Ninamidadi ka ya RUMBA
Kibao kata kinyonga
Mfukoni namavumba
Nungu chini linasunta

Yani bo bo bo bo
Kananikoshaga ro ho ho ho ho  
Yani nasimama de de de de
Kakitingisha wo wo wo wo wo

Baby girl dance for me one time (Secreto)
Miono feni kunata (Secreto)
Tena jifunge na ngata (Secreto)
Zile za kibao kata (Secreto)
Baby girl dance for me one time (Secreto)
Miono feni kunata (Secreto)
Tena jifunge na ngata (Secreto)
La la la la la la la la…

Katik, katika aah eh... Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..... Katik, katika aah eh

[VERSE 2 : Diamond Platnumz]
Yani katot ni, kako ni ni ni
Kamekazika ni ngi ngi ngi
Nyuma mbwii, kako mbwi mbwi mbwi
Kana misifa shangi ngi ngi
Nilikavizia kitamboo (aaah eh)
Loe kamenasa chambo (aaah eh)
Nkapakia na mgando (aaah eh)
Kajegeje karambo (aaah eh)

Kana michenzo ngomani sindimba izombe
Nami nampatia za pwani muhogo wa jang’ombe

Yani eh eh eh eh eh eh
Kananikoshaga roho oh oh oh
Waga nasimama de de de dee
Kakitingisha wo wo wo wo

Oooh yaaah,
ooh nadendeaa
Yani siwezi kutembea
Che cheme na checheme
Yani hadi na legea

Katik, katika aah eh... Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..... Katik, katika aah eh

[Verse 3 : Aika]
Maumivu naugulia
Mwiba ukizama nahisi mateso
Utamu mang’ang’ania
Ndizi kwa nyuma napata mchecheto

Nakuna Nazi kwa mkongojo (aaah eh)
Naunga mchuza wa sotojo (aaah eh)
Una la rosti rojo rojo (aaah eh)
Mikunjo Fulani wa bogojo (aaah eh)

Kibao kata tenteme tenteme
Kilinge ni kuzama uchutame
Uwezi pata we mpaka usimame
Haichagui mwembamba mnene

Nikalaze kwa bed kitanda (kwa geto)
Nikachezeshe samba (roketo)
Na kalivo na body kinanda (secreto)
Tunguli zimenibamba (mobetto)

Katik, katika aah eh... Katik, katika aah eh
Katik, katika aah eh..... Katik, katika aah eh

 

Ecouter

A Propos de " Katika"

Album : Katika (Single)
Année de Sortie : 2018
Ajouté par : Afrika Lyrics
Published : Oct 01 , 2018

Plus de Lyrics de NAVY KENZO

NAVY KENZO
NAVY KENZO
NAVY KENZO
NAVY KENZO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl