NATOLY  Ua la waridi cover image

Paroles de Ua la waridi

Paroles de Ua la waridi Par NATOLY


Lala lala lala lala lala lala
Lala lala,lalalalalaaa... 
Nashangaa, ulifunga virago mwenyewe kaondoka,
Hewala nimepata mchumba mideko nadekezwa...
Mashalah, taratibu chumbani kijasho chanitoka...
Anipa rahaa masimango Kichali mi tena siyaoni.
  Kulala hoi na kusononeka,yote nmepitia.
Kutwa majanga mi naweweseka,mwenzako nilijutia.
Leo kuku kanaswa kwa tenga mwenyewe nimeshachumbia.
Ananipa penzi,tena kwa vitenzi,,na kumwacha Siwezi.
"""Alinihaidi atavumilia,zangu zote kasoro.
Amenizamisha kwenye lake penzi,naona maruweruwe
Amenizamisha kwenye lake penzi,naona maruweruwe

 
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea.
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea

Sipashi viporo, hananga kasoro ni wangu wa ndani,
Chaguo la moyo,hapendi uchoyo,mwisho mi nafikishwa.
Uliniahidi utanipa mapenzi bila ya kusitisha,
Penzi langu la dhati kalicheza karate jeraha nauguza.
Hebu kwanza nikome, ungeniacha nipone Jeraha la moyo,,,
Nina wangu lazizi  anayejua nogesha mapenzi full charge.
"""Akipinda napita kwa mabano, msobe sobe milima napandishwa.
Kwichikwichi mahaba naletewa,nadekezwa kaa mtoto.
Kwichikwichi mahaba naletewa,nadekezwa kaa mtoto
 
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea. 
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea
 
Naomba ondoka, mwenye penzi la kweli asije kupata.
Nitakua taabani,taabani mwenzio nishindwe kuhema.
Alivyo bisha shetwani milango huku kwetu we ndo ulifungua.
Ukadhihaki kuondoka tena mwendo kaa gari za kariako.
""" Hebu kwanza nikome, ungeniacha nipone Jeraha la moyo,,,
Nina wangu lazizi  anayejua nogesha mapenzi full charge.
Nina wangu lazizi  anayejua nogesha mapenzi full charge
 
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea.
Niinalo ua la waridi, nalimwaagilia mbolea
Muda Mwingine macho huupa moyo kazi ngumu 
Ya kuchagua ni ipi sahihi na ni ipi sio sahihi.  
Kwa hivo usiache mbachao kwa msala upitao...

Ecouter

A Propos de "Ua la waridi"

Album : Ua la waridi (Single)
Année de Sortie : 2020
Ajouté par : Natolie
Published : Dec 11 , 2020

Plus de Lyrics de NATOLY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl